KARIBU TENA

KARIBU TENA

Thursday, June 23, 2016

Nakupongeza sana mwanazuoni mwezangu Grace Kihampa

Napenda kutumia Muda huu kumpongeza mwanahabari na kipenzi cha wengi Grace Kihampa kwa kutimiza miaka kadhaa leo.

Mungu akubariki akulinde na kukufikisha mbali zaidi katika tasnia hii ya habari hakika unastahili pongezi.

Usimuliaji wako wa habari ni mfano wa kuigwa na wanahabari waliyo wengi hapa nchini wenye kupenda kujifunza.

Mungu aendelee kukung'arisha katika tasnia hii ya habari mpendwa wangu, kumbuka kumshukuru Mungu kwa kila jambo....

No comments:

Post a Comment